Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Wafalme Wanane Wafunuliwa

Wafalme Wanane Wafunuliwa

Wafalme Wanane Wafunuliwa

Kwa ujumla, vitabu vya Biblia vya Danieli na Ufunuo havifunui tu wafalme wanane, au serikali za wanadamu, bali pia vinaonyesha jinsi ambavyo serikali hizo zingefuatana. Tunaweza kuelewa maana ya unabii huo mbalimbali tukielewa unabii wa kwanza kabisa ulioandikwa katika Biblia.

Katika historia yote, Shetani amepanga uzao wake katika makundi mbalimbali ya kisiasa au falme. (Luka 4:5, 6) Hata hivyo, ni falme chache sana za wanadamu ambazo zimejitahidi sana kuwapinga watu wa Mungu, iwe ni taifa la Israeli au kutaniko la Wakristo watiwa-mafuta. Maono ya Danieli na Yohana yanaeleza kuhusu jumla ya serikali kuu nane tu za aina hiyo.

[Chati/​Picha katika ukurasa wa 12, 13]

(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

UNABII MBALIMBALI UNABII MBALIMBALI

ULIO KATIKA KITABU ULIO KATIKA KITABU

CHA DANIELI CHA UFUNUO

1. Misri

2. Ashuru

3. Babiloni

4. Umedi

na Uajemi

5. Ugiriki

6. Roma

7. Uingereza

na Marekani *

8. Ushirika wa Mataifa

na Umoja wa Mataifa *

WATU WA MUNGU

2000 K.W.K.

Abrahamu

1500

Taifa la Israeli

1000

Danieli 500

K.W.K./W.K.

Yohana

Israeli wa Mungu 500

1000

1500

2000 W.K.

[Maelezo ya Chini]

^ fu. 13 Katika siku za mwisho, wafalme wote wawili wanatawala. Tazama ukurasa wa 19.

^ fu. 14 Katika siku za mwisho, wafalme wote wawili wanatawala. Tazama ukurasa wa 19.

[Picha]

Ile sanamu kubwa sana (Dan. 2:31-45)

Wanyama wanne kutoka baharini (Dan. 7:3-8, 17, 25)

Kondoo-dume na mbuzi (Dan., sura ya 8)

Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:1-10, 16-18)

Mnyama-mwitu mwenye pembe mbili anachochea utengenezaji wa sanamu ya mnyama-mwitu (Ufu. 13:11-15)

[Hisani]

Photo credits: Egypt and Rome: Photograph taken by courtesy of the British Museum; Medo-Persia: Musée du Louvre, Paris