Wafalme Wanane Wafunuliwa
Wafalme Wanane Wafunuliwa
Kwa ujumla, vitabu vya Biblia vya Danieli na Ufunuo havifunui tu wafalme wanane, au serikali za wanadamu, bali pia vinaonyesha jinsi ambavyo serikali hizo zingefuatana. Tunaweza kuelewa maana ya unabii huo mbalimbali tukielewa unabii wa kwanza kabisa ulioandikwa katika Biblia.
Luka 4:5, 6) Hata hivyo, ni falme chache sana za wanadamu ambazo zimejitahidi sana kuwapinga watu wa Mungu, iwe ni taifa la Israeli au kutaniko la Wakristo watiwa-mafuta. Maono ya Danieli na Yohana yanaeleza kuhusu jumla ya serikali kuu nane tu za aina hiyo.
Katika historia yote, Shetani amepanga uzao wake katika makundi mbalimbali ya kisiasa au falme. ([Chati/Picha katika ukurasa wa 12, 13]
(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)
UNABII MBALIMBALI UNABII MBALIMBALI
ULIO KATIKA KITABU ULIO KATIKA KITABU
CHA DANIELI CHA UFUNUO
1. Misri
2. Ashuru
3. Babiloni
4. Umedi
na Uajemi
5. Ugiriki
6. Roma
7. Uingereza
na Marekani *
8. Ushirika wa Mataifa
na Umoja wa Mataifa *
WATU WA MUNGU
2000 K.W.K.
Abrahamu
1500
Taifa la Israeli
1000
Danieli 500
K.W.K./W.K.
Yohana
Israeli wa Mungu 500
1000
1500
2000 W.K.
[Maelezo ya Chini]
^ fu. 13 Katika siku za mwisho, wafalme wote wawili wanatawala. Tazama ukurasa wa 19.
^ fu. 14 Katika siku za mwisho, wafalme wote wawili wanatawala. Tazama ukurasa wa 19.
[Picha]
Ile sanamu kubwa sana (Dan. 2:31-45)
Wanyama wanne kutoka baharini (Dan. 7:3-8, 17, 25)
Kondoo-dume na mbuzi (Dan., sura ya 8)
Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba (Ufu. 13:1-10, 16-18)
Mnyama-mwitu mwenye pembe mbili anachochea utengenezaji wa sanamu ya mnyama-mwitu (Ufu. 13:11-15)
[Hisani]
Photo credits: Egypt and Rome: Photograph taken by courtesy of the British Museum; Medo-Persia: Musée du Louvre, Paris