Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari Mnara wa Mlinzi 2012

Fahirisi ya Habari Mnara wa Mlinzi 2012

Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

  • Biblia ya Kiingereza ya Coverdale, 6/1

  • Inabadili Maisha, 1/1, 2/1, 4/1, 5/1, 7/1, 8/1, 10/1, 11/1

  • Je, Inatabiri Kuhusu Wakati Ujao? 1/1

  • Kiswahili, 9/1

  • Kitabu cha Kipekee, 6/1

  • Kuitumia Kishirikina, 12/15

  • Kwa Ajili ya Vijana, 1/1, 4/1, 7/1, 10/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Fadhili, 9/1

  • Je, Ni Lazima Ufunge Ndoa ili Uwe na Furaha? 10/1

  • Je, Ponografia Inaweza Kufanya Mtu Atengwe na Ushirika? 3/15

  • Je, Wakristo wa Karne ya Kwanza Walijihusisha na Siasa? 5/1

  • “Jihadharini na Chachu ya Mafarisayo,” 5/15

  • Kiapo cha Uaminifu, 12/15

  • Kijana Akitilia Shaka Imani Yako, 2/1

  • Kufanya Wakati wa Kujifunza Uwe Wenye Kufurahisha na Kunufaisha, 1/15

  • Kwa Nini Wakristo Hubatizwa? 4/1

  • Madeni, 11/1

  • Masomo Yangu ya Biblia, 2/1, 5/1, 8/1, 11/1

  • Tafuta “Mwongozo Stadi,” 6/15

  • Wafundishe Watoto Wako, 3/1, 6/1, 9/1, 12/1

  • Wewe Hutoaje Shauri? 3/15

  • Zawadi ya Useja, 11/15

MAKALA ZA FUNZO

  • Acha Yehova Akuongoze Kupata Uhuru wa Kweli, 7/15

  • Acheni Ndiyo Yenu Imaanishe Ndiyo, 10/15

  • Amani kwa Muda wa Miaka Elfu Moja na Kuendelea! 9/15

  • Dumisha Hisi Yako ya Uharaka, 3/15

  • Dumisha Moyo Kamili Kumwelekea Yehova, 4/15

  • “Hamwijui Ile Siku Wala Saa,” 9/15

  • Iga Mfano Ambao Yesu Aliweka Katika Kukesha, 2/15

  • Je, Kweli Unathamini Zawadi ya Mungu ya Ndoa? 5/15

  • Je, Unatoa Mrudisho wa Utukufu wa Yehova? 5/15

  • Jiendesheni Kama Raia wa Ufalme! 8/15

  • Jifunze Jinsi ya Kukesha Kutoka kwa Mitume wa Yesu, 1/15

Jifunze Kutokana na ‘Ile Picha ya Kweli,’ 1/15

  • Jifunze Kutokana na Subira ya Yehova na Yesu, 9/15

  • Jihadhari na Mitego ya Ibilisi! 8/15

  • Jinsi Ulimwengu Huu Utakavyofikia Mwisho Wake, 9/15

  • Kudumisha Msimamo Wetu Tukiwa “Wakaaji wa Muda,” 12/15

  • Kukabiliana na Matatizo ya Leo kwa Ujasiri, 10/15

  • Kumtolea Yehova Dhabihu kwa Nafsi Yote, 1/15

  • Kushangilia Katika Tumaini Letu, 3/15

  • Kwa Nini Tutangulize Utumishi wa Yehova? 6/15

  • Linda Roho Nzuri ya Kutaniko, 2/15

  • “Mimi Nipo Pamoja Nanyi,” 8/15

  • Msamaha wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako? 11/15

  • Msameheane kwa Hiari, 11/15

  • Mtegemee Yehova—Mungu wa “Nyakati na Majira,” 5/15

  • Mtii Mungu ili Ufaidike Kutokana na Ahadi Zake Zenye Kiapo, 10/15

  • Mtumikie Mungu wa Uhuru, 7/15

  • ‘Mwana Anapenda Kumfunua Baba,’ 4/15

  • Ni Roho ya Aina Gani Unayoonyesha? 10/15

  • “Nitamhofu Nani?” 7/15

  • Pata Mafanikio ya Kweli Maishani, 12/15

  • Simama Imara na Uepuke Mitego ya Shetani! 8/15

  • Sitawisha Ile Roho ya Aliye Mdogo Zaidi, 11/15

  • Ukuhani wa Kifalme Utawanufaisha Wanadamu Wote, 1/15

  • Unaweza Kupata Furaha Katika Familia Iliyogawanyika, 2/15

  • “Unifundishe Kufanya Mapenzi Yako,” 11/15

  • Usaliti Ni Ishara Yenye Kuogopesha ya Siku za Mwisho! 4/15

  • Usitazame “Mambo Yaliyo Nyuma,” 3/15

  • “Uwe Hodari na Mwenye Nguvu Sana,” 2/15

Uwe na Maoni Yanayofaa Kuhusu Ndoa Yenye Matatizo, 5/15

  • “Wakaaji wa Muda” Waungana Katika Ibada ya Kweli, 12/15

  • Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu, 1/15

  • ‘Waliongozwa na Roho Takatifu,’ 6/15

  • Wasaidie Watu ‘Waamke Kutoka Katika Usingizi,’ 3/15

  • Wewe Ni Msimamizi-Nyumba Mwenye Kutegemeka! 12/15

  • Yehova Anafunua Mambo Ambayo “Lazima Yatendeke Upesi,” 6/15

  • Yehova Anajua Jinsi ya Kuwakomboa Watu Wake, 4/15

  • Yehova Anawakutanisha Watu Wake Wenye Shangwe, 9/15

  • Yehova Hutulinda Ili Kutuokoa, 4/15

  • “Yehova Mmoja” Anaikusanya Familia Yake, 7/15

Yehova Ni “Mfunuaji wa Siri,” 6/15

  • Yesu Aliweka Kielelezo cha Unyenyekevu, 11/15

  • MAMBO MENGINE

  • Abrahamu, 1/1

  • Ahasuero (wa Esta), 1/1

  • Aliilinda Familia, Akawaandalia, Akavumilia (Yosefu), 4/1

  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi (Esta), 1/1

  • Anasi Katika Masimulizi ya Injili, 4/1

  • Barua Zilitumwaje Katika Nyakati za Biblia? 9/1

  • Chagua Wakati Ujao Wenye Mafanikio, 5/1

  • Chumvi Inaweza Kupoteza Nguvu Zake? (Mt 5:13), 12/1

Dini na Siasa, 5/1

  • Divai Ilitumiwa Kama Dawa, 8/1

  • “Haiwezekani!”—Neno Hilo Linamaanisha Nini? 6/1

  • Har–Magedoni, 2/1

  • Jambo Bora Kuliko Krismasi, 12/1

  • Je, Dunia Itaharibiwa? 2/1

  • Je, Imani Ni Kitulizo cha Hisia? 11/1

  • Je, Ufisadi Utakwisha? 10/1

  • Je, Unaweza Kuishi Milele? 10/1

  • Je, Wakristo Walikimbia Kutoka Yudea Kabla ya 70 W.K.? 10/1

  • Kalamu na Wino Katika Nyakati za Biblia, 11/1

  • Karatasi Katika Nyakati za Biblia, 7/1

  • Kifo cha Washikamanifu wa Mungu Ni “Chenye Thamani,” 5/15

  • “Kiti cha Hukumu” (Mdo 18:12), 5/1

  • Kuaminiana Tena (baada ya uzinzi), 5/1

  • “Kuna Thawabu kwa Ajili ya Kazi Yenu” (Asa), 8/15

  • Kupoteza Sarafu ya Drakma, 12/1

  • Kuuza na Kununua Katika Israeli, 9/1

  • Kuwaona Wengine kwa Mara ya Kwanza, 3/1

  • Kuwasiliana na Pepo, 3/1

  • Kwa Nini Wafunge Ndoa na Waabudu Wenzao Tu? 7/1

  • Kwa Nini Watu Fulani Hawasherehekei Krismasi? 12/1

  • Lami Ilitumiwa Kama Saruji, 7/1

  • Madhabahu ya “Mungu Asiyejulikana,” 3/1

  • Mahema Yaliyotengenezwa na Paulo, 11/1

  • Mapato Yanapopungua, 6/1

  • Matofali Katika Misri ya Kale, 1/1

  • Mawe ya Thamani Kwenye Kifuko cha Kifuani cha Kuhani Mkuu, 8/1

  • Mchungaji (Nyakati za Biblia), 11/1

  • Miujiza, 8/1

  • Mkulima (Nyakati za Biblia), 5/1

  • “Mwanamke Bora Sana” (Ruthu), 10/1

  • Nasaba za Wayahudi, 6/1

  • Nathani—Mteteaji Mshikamanifu wa Ibada Safi, 2/15

  • Ni Nini Kitakachozipata Dini? 5/1

  • Rangi na Vitambaa Nyakati za Biblia, 3/1

  • Sifa Zinazowatambulisha Wakristo wa Kweli, 3/1

  • Siku ya Hukumu, 9/1

  • Thesalonike, 6/1

  • Tumbaku, 8/1

  • “Uendako Nitaenda,” (Ruthu), 7/1

  • Uingereza na Marekani Zilipokuwa Serikali Kuu ya Saba ya Ulimwengu, 6/15

  • Unaamini Uliishi Katika Mwili Mwingine? 12/1

  • Utatu, 3/1

  • Viini-Tete vya Wanadamu Vilivyogandishwa, 12/15

  • Vipodozi Katika Nyakati za Biblia, 12/1

  • Viumbe wa Roho Wanahusikaje Katika Maisha Yetu, 7/1

  • Wafalme Wanane Wafunuliwa, 6/15

  • Wakusanya-Kodi (karne ya kwanza), 3/1

  • “Wana wa Manabii,” 10/1

  • Wanamuziki na Vyombo vya Muziki, (Nyakati za Biblia), 2/1

  • Watu Walipiga Filimbi Kwenye Mazishi Katika Siku za Yesu? 2/1

  • Watu Wote Wazuri Huenda Mbinguni? 8/1

  • Wavuvi (Nyakati za Biblia), 8/1

  • Wivu, 2/15

  • MASHAHIDI WA YEHOVA

  • Barua Kutoka . . . , 3/1, 6/1, 9/1, 12/1

  • Fadhili Huondoa Uchungu, 6/15

  • “Historia Haisemi Uwongo” (Estonia), 12/1

  • ‘Kilifanya Nijulikane na Watu Wengi’ (Kigari cha Dawn), 2/15

  • Kuhifadhi Vitu Vyetu Vyenye Thamani vya Wakati Uliopita, 1/15

  • Kuhitimu kwa Gileadi, 2/1, 8/1

  • “Kutoka Katika Kinywa cha Watoto” (Urusi, Australia), 10/15

  • Kwa Nini Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba? 6/1

Mahakama ya Ulaya Yatetea Uhuru wa Dhamiri (V. Bayatyan), 11/1

  • Makolpota, 5/15

  • Makusanyiko ya Wilaya ya “Linda Moyo Wako!” 5/1

  • Mapilgrimu, 8/15

  • Mipaka Haina Maana (Ureno, Hispania, Ufaransa), 1/1

  • Mkutano wa Kila Mwaka, 8/15

  • “Ndoto Yangu Imetimia” (upainia), 7/15

  • ‘Ninawezaje Kuhubiri?’ (amepooza), 1/15

  • Shule za Kitheokrasi, 9/15

  • Toleo la Funzo (Mnara wa Mlinzi), 1/15

  • Toleo Lililorahisishwa (Mnara wa Mlinzi), 12/15

  • ‘Ujumbe Bora Zaidi Uliowahi Kusikiwa’ (redio ya Kanada), 11/15

  • “Unaweza Tafadhali Kutupiga Picha?” (Mexico), 3/15

  • Waazteki wa Kisasa, 3/1

  • Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Brazili, 10/15

  • Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Ekuado, 7/15

  • Walitangaza Neno la Mungu kwa Uhodari! 2/15

  • Wanaruhusu Wanawake Kufundisha? 9/1

  • Ziada Ilijazia Upungufu (michango), 11/15

  • MASIMULIZI YA MAISHA

  • Marafiki kwa Miaka 60 (L. Turner, W. Kasten, R. Kelsey, R. Templeton), 10/15

  • Miaka Sabini ya Kushikilia Upindo wa Nguo ya Myahudi (L. Smith), 4/15

  • Nguvu za Neno la Mungu Zasaidia Familia ya Kihindu (N. Govindsamy), 10/1

  • Nilipata Uhuru wa Kweli! (M. Kilin), 12/1

  • Nilivutiwa na Watu Wazee Wenye Hekima (E. Gjerde), 5/15

  • Sasa Ninamjua Mungu Ninayemwabudu (M. Bacudio), 9/1

  • “Siri” Tuliyojifunza Kutokana na Utumishi Mtakatifu (O. Randriamora), 6/15

  • “Uzuri Upande wa Mkono Wako wa Kuume Milele” (L. Didur), 3/15

  • Yehova Alinifundisha Kufanya Mapenzi Yake (M. Lloyd), 7/15

  • Yehova Amenifungua Macho (P. Oyeka), 6/1

  • YEHOVA

  • Baba, 7/1

  • Je, Anawaadhibu Watu Katika Moto wa Mateso? 10/1

  • Je, Anawajali Wanawake? 9/1

  • Je, Ataleta Serikali ya Ulimwengu Mzima? 11/1

  • Kwa Nini Alimtuma Yesu Duniani? 12/1

  • Kwa Nini Alimwambia Abrahamu Amdhabihu Mwana Wake? 1/1

  • Kwa Nini Amewapanga Watu Wake kwa Utaratibu? 2/1

  • Kwa Nini Tulitumie Jina Lake? 6/1

  • Mkaribie Mungu, 1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 11/1, 12/1

  • Msikiaji wa Sala, 7/1

  • Ungemuuliza Mungu Swali Gani? 11/1

  • YESU KRISTO

  • Aliwekwa Lini Kuwa Mfalme? 8/1

  • Injili za Apokrifa, 4/1

  • Je, Yesu Ni Mungu? 4/1

  • Kosa la Watenda-Dhambi Waliotundikwa na Yesu, 2/1

  • Kwa Nini Wayahudi Walikwazwa na Jinsi Alivyokufa, 5/1

  • Maana ya “Nenda Pamoja Naye Kilomita Mbili” (Mt 5:41), 4/1

  • Maoni Kuhusu Siasa, 5/1

  • Maswali Yajibiwa, 4/1

  • Ni Nani Aliyeituma ile “Nyota”? 4/1

  • Tukumbuke Kifo cha Yesu Jinsi Gani? 3/1