MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2013
Toleo hili litafafanua jinsi ya kujifunza Biblia ili tuweze kutumia hekima ya Mungu katika huduma yetu na katika maisha yetu binafsi.
Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Mexico
Soma na uone ni vijana wangapi wamekabiliana na matatizo mbalimbali ili kupanua huduma yao ya Kikristo.
Pata Manufaa Kamili kwa Kusoma Biblia
Biblia hutunufaisha ikiwa tu tutajifunza na kutumia mafundisho yake. Jifunze jinsi ya kusoma Biblia kwa njia nzuri zaidi.
Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine kwa Kutumia Neno la Mungu
Je, unaiona Biblia kuwa yenye thamani? Kujifunza andiko la 2 Timotheo 3:16 kutajenga imani yako katika zawadi hiyo kutoka kwa Yehova.
SIMULIZI LA MAISHA
Miaka Hamsini ya Utumishi wa Wakati Wote Karibu na Mzingo wa Aktiki
Soma simulizi la maisha la Aili na Annikki Mattila, waliojifunza kumtegemea Yehova walipotumikia wakiwa mapainia wa pekee kaskazini mwa Finland.
“Mhakikishe Mambo Yaliyo ya Maana Zaidi”
Tuna pendeleo la kuwa sehemu ya tengenezo la Mungu la ulimwenguni pote. Tunawezaje kuunga mkono kazi ambayo linatimiza leo?
‘Usichoke Kabisa’
Ni nini kitakachotusaidia kusonga pamoja na tengenezo la Yehova na kudumisha bidii yetu katika utumishi wa Mungu?
Je, Wajua?
Yesu alitabiri kwamba hekalu la Yehova lingeharibiwa kabisa. Je, hekalu la Yerusalemu liliwahi kujengwa upya baada ya mwaka wa 70 W.K.?