MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Mei 2013

Toleo hili linaeleza jinsi tunavyoweza kufanikiwa kutimiza jukumu letu tukiwa waeneza-injili na kuonyesha sifa ambazo zinaweza kutusaidia kuwasiliana vizuri katika familia.

Timiza Jukumu Lako Ukiwa Mweneza-Injili

Kwa nini ni muhimu watu wasikie habari njema leo? Na tunawezaje kutimiza kwa mafanikio jukumu letu tukiwa waeneza-injili?

Je, Una “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”?

Makala hii inazungumzia jinsi bidii yetu katika kazi ya kuhubiri na mwenendo wetu mzuri unavyowavuta watu kwa Mungu.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Mataifa mengi katika nyakati za kale yaliwaua wahalifu fulani kwa kuwatundika juu ya mti au nguzo. Vipi taifa la kale la Israeli?

Imarisha Ndoa Yako Kupitia Mawasiliano Mazuri

Mawasiliano mazuri ni muhimu ili kuwa na ndoa yenye furaha. Makala hii inataja sifa ambazo zinaweza kutusaidia kuwasiliana vizuri.

Wazazi na Watoto—Wasilianeni kwa Upendo

Ni baadhi ya mambo gani yanayozuia mawasiliano mazuri? Tunawezaje kuyashinda?

SIMULIZI LA MAISHA

Kinachofanya Maisha Yetu Yawe na Kusudi la Kweli

Patricia ana watoto wawili wanaougua ugonjwa wa chembe za urithi ambao hauwapati watu wengi. Jifunze jinsi walivyopata kusudi maishani licha ya matatizo yao.

Linda Urithi Wako kwa Kufanya Maamuzi ya Hekima

Ni urithi gani wa kiroho walio nao Wakristo, na tunaweza kujifunza nini kutokana na kielelezo chenye kuonya cha Esau?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Walisimama Imara Katika “Saa ya Jaribu”

Ona jinsi kuanza kwa Vita vya Kwanza vya Ulimwengu katika mwaka wa 1914 kulivyofanya ulimwengu utambue hatimaye kwamba Wanafunzi wa Biblia hawaungi mkono upande wowote katika vita.