MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2013

Toleo hili linazungumzia njia zinazoweza kusaidia imani yetu isidhoofishwe. Pia, Mlo wa Jioni wa Bwana unapaswa kuadhimishwa lini na una maana gani kwetu?

Yehova Aliwalinda Katika Vivuli vya Milima

Mashahidi wa Yehova walioishi Ujerumani chini ya utawala wa Nazi walipataje machapisho ya Biblia? Mashahidi walikabili hatari gani?

‘Usitikiswe Upesi Kutoka Kwenye Kufikiri Kwako’!

Barua za Paulo kwa Wathesalonike zina maonyo gani ya wakati unaofaa? Ni nini kinachoweza kutusaidia kutodanganywa?

Je, Utatoa Dhabihu kwa Ajili ya Ufalme?

Ona jinsi tunavyoweza kutumia wakati, pesa, nguvu, na uwezo wetu kuunga mkono Ufalme wa Mungu.

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma kwa makini makala za hivi karibuni za Mnara wa Mlinzi? Angalia ni mambo gani unayoweza kukumbuka.

“Siku Hii Itakuwa Ukumbusho Kwenu”

Wakristo wanapaswa kujua nini kuhusu Pasaka? Mlo wa Jioni wa Bwana una maana gani kwetu sote?

‘Fanyeni Hivi kwa Kunikumbuka Mimi’

Tunajuaje wakati wa kuadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana? Mkate na divai hufananisha nini?

Kukabiliana na Kifo cha Mwenzi Wako wa Ndoa

Mtu huumia sana moyoni kwa muda mrefu kwa sababu ya kufiwa na mwenzi wa ndoa. Chunguza uone jinsi tumaini la ufufuo linalopatikana katika Neno la Mungu linavyofariji.

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2013

Tazama fahirisi ya habari zilizo katika makala zilizochapishwa katika Mnara wa Mlinzi mwaka wa 2013.