MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Februari 2014

Toleo hili linazungumzia matukio yenye kusisimua yanayotajwa katika Zaburi 45. Linatusaidia pia kumthamini Yehova Mungu akiwa Mwandalizi, Mlinzi, na Rafiki yetu mkubwa zaidi.

Msifuni Kristo—Mfalme Mtukufu!

Matukio yenye kusisimua yanayoelezwa katika Zaburi 45 yana maana gani kwetu leo?

Shangilieni kwa Sababu ya Ndoa ya Mwana-Kondoo!

Ni nani bibi-arusi katika ndoa ya Mwana-Kondoo? Na Kristo amekuwa akimtayarishaje kwa ajili ya arusi yake? Ni nani watakaoshangilia kwa sababu ya ndoa hiyo?

Mjane wa Sarefathi Alithawabishwa kwa Sababu ya Imani Yake

Ufufuo wa mwana wake ni mojawapo ya matukio yaliyoimarisha sana imani yake. Ni mambo gani tunayojifunza kutokana naye?

Yehova Ni Mwandalizi na Mlinzi Wetu

Mthamini Yehova Mungu, Baba yetu wa mbinguni. Jifunze jinsi unavyoweza kuimarisha uhusiano wako na Mungu akiwa Mwandalizi Mkuu na Mlinzi.

Yehova Ni Rafiki Yetu Mkubwa Zaidi

Chunguza mfano mzuri wa Abrahamu na Gideoni, marafiki wa karibu wa Yehova Mungu. Ni matakwa gani tunayopaswa kutimiza ili tuwe marafiki wa Yehova?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini Wayahudi wa karne ya kwanza walikuwa ‘wakimtarajia’ Masihi?

‘Ona Uzuri wa Yehova’

Mfalme Daudi wa taifa la kale la Israeli alithamini mpango wa Mungu wa ibada ya kweli. Tunawezaje kupata shangwe katika ibada ya kweli leo?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Sinema ya Pekee Iliyochochea Imani Miaka 100 Iliyopita

Huu ni mwaka wa 100 tangu sinema ya “Photo-Drama of Creation” ilipoonyeshwa kwa mara ya kwanza. Sinema hiyo ilikusudiwa kuwasaidia watu kujenga imani katika Neno la Mungu, Biblia.