MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2014

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 4 hadi 31, 2014.

“Lainisha Mapito ya Mguu Wako” Ili Ufanye Maendeleo

Unawezaje kuondoa vizuizi na kufikia miradi yako ya kiroho?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Je, Wakristo wanapaswa kufuata desturi ya kuchoma maiti?

Wasaidie Waamini Wenzako Waliotalikiana—Jinsi Gani?

Pata ufahamu kuhusu hali ngumu na hisia ambazo waliotalikiana wanakabili.

“Lazima Umpende Yehova Mungu Wako”

Jifunze alichomaanisha Yesu aliposema kwamba tunapaswa kumpenda Yehova kwa moyo, nafsi, na akili yetu yote.

“Mpende Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe”

Yesu alimaanisha nini aliposema kwamba tunapaswa kumpenda jirani yetu? Tunawezaje kufanya hivyo?

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma kwa makini makala za hivi karibuni za gazeti la Mnara wa Mlinzi? Jaribu uone unachokumbuka.

Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Udhaifu wa Kibinadamu?

Unaweza kuwa na maoni yanayofaa zaidi kuhusu ndugu na dada ambao huenda wanaonekana kuwa dhaifu.

Wasaidie Wengine Kufanya Yote Wawezayo

Tunawezaje kuwasaidia ndugu vijana au wale waliobatizwa karibuni kufanya maendeleo?