MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2014

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 2 hadi Machi 1, 2015.

‘Aliijua Njia’

Guy H. Pierce, mshiriki wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova alikufa Jumanne, Machi 18, 2014.

Yehova Huwabariki Sana Wenye Nia ya Kutoa

Tunaweza kujifunza somo muhimu kuhusu michango kutokana na amri ambayo Mungu aliwapa Waisraeli.

‘Sikiliza, Upate Maana’

Yesu alitoa mifano kuhusu mbegu ya haradali, chachu, mwanabiashara anayesafiri, na hazina iliyofichwa. Ilimaanisha nini?

Je, ‘Unafahamu Maana’?

Mifano ya Yesu ya mpandaji anayelala usingizi, wavu wa kukokota, na mwana mpotevu inamaanisha nini?

Je, Unakumbuka?

Maswali haya 12 yanaweza kukusaidia kuona ikiwa unakumbuka yale uliyosoma katika matoleo ya Mnara wa Mlinzi ya Juni hadi Desemba 2014.

Je, Ni Vibaya Kubadili Uamuzi Wako?

Si maamuzi yote unayofanya yanaweza kubadilishwa. Utajuaje yale unayoweza kubadili?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Yeremia alimaanisha nini aliposema kwamba Raheli anawalilia wanawe?

Kufanya Kazi kwa Umoja Tunapokaribia Mwisho wa Ulimwengu Huu

Mifano minne ya Biblia inaonyesha umuhimu wa umoja na kwa nini umoja utakuwa muhimu hata zaidi wakati ujao.

Je, Unathamini Mambo Ambayo Umepokea?

Tunawezaje kuonyesha kwamba tunathamini urithi wetu wa kiroho?

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2014

Orodha iliyopangwa ya makala zilizochapishwa mwaka wa 2014 katika toleo la watu wote na la funzo.