Ukurasa wa 32
Ukurasa wa 32
▪ Ni nini kinachoweza kukusaidia kuwa na amani ya akili ujapokabili umaskini, magonjwa, au kifo?
UKURASA WA 9.
▪ Taja sababu tatu zinazoonyesha kwa nini ni jambo la maana kusali katika jina la Yesu.
UKURASA WA 13.
▪ Kwa nini ulimi wa mwanadamu unaweza kulinganishwa na moto?
UKURASA WA 19.
▪ Kwa nini Mungu anaruhusu mateso?
UKURASA WA 27.
▪ Ni matatizo gani ya ziada ambayo mara nyingi akina mama wanaofanya kazi za kujiruzuku wanakabiliana nayo?
UKURASA WA 28.