Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uharibifu wa Sodoma na Gomora

Uharibifu wa Sodoma na Gomora

Kwa Ajili ya Vijana Wetu

Uharibifu wa Sodoma na Gomora

Maagizo: Fanya zoezi hili katika mazingira matulivu. Unaposoma maandiko, jiwazie ukiwa katika matukio yanayozungumziwa. Wazia kikao. Sikia sauti. Hisi kama wahusika wakuu wanavyohisi.

CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA MWANZO 19:1-14.

Eleza yale unayofikiri kuhusu sura ya wageni wa Loti.

․․․․․

Ni watu wa aina gani waliokuwa katika umati huo?

․․․․․

CHIMBA ZAIDI.—SOMA MWANZO 13:7-13.

Loti alikuja kuwa mkaaji wa Sodoma jinsi gani?

․․․․․

Kwa nini Yehova aliona kwamba watu waliokaa huko walistahili kuharibiwa?

․․․․․

SOMA MWANZO 19:15-26.

Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Yehova alimjali Loti?

․․․․․

Unafikiri ni kwa nini mke wa Loti alitazama nyuma?

․․․․․

Kwa nini aliharibiwa?

․․․․․

TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA KUHUSU . . .

Maoni ya Yehova kuhusu uovu.

․․․․․

Huruma za Yehova.

․․․․․

Jinsi Yehova anavyowaonya watu wake kabla ya kuchukua hatua ya hukumu.

․․․․․

Jambo fulani katika simulizi hilo ambalo ni la maana zaidi kwako, na kwa nini unaona hivyo.

․․․․․

․․․․․