Ukurasa wa 32
Ukurasa wa 32
▪ Ni sababu gani nne zinazoonyesha kwa nini unaweza kuamini ahadi za Biblia za wakati ujao? Ona ukurasa wa 8.
▪ Unaweza kuzungumza jinsi gani na kijana ambaye hajibu maswali yako? Ona ukurasa wa 11.
▪ Ni hatua gani ambazo wazazi wanaweza kuchukua ili kuwasaidia watoto wao waonyeshe shukrani? Ona ukurasa wa 13.
▪ Je, Yesu alitumia jina la Mungu alipokuwa akiwahubiria Wayahudi wenzake? Ona ukurasa wa 19.
▪ Ni nini kilichomchochea mshiriki wa genge la vijana nchini Mexico linaloitwa Mashetani Wadogo afanye mabadiliko makubwa maishani mwake? Ona ukurasa wa 28.