Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ufufuo wa Lazaro

Ufufuo wa Lazaro

Kwa Ajili ya Vijana Wetu

Ufufuo wa Lazaro

Maagizo: Fanya zoezi hili katika mazingira matulivu. Unaposoma maandiko, jiwazie ukiwa katika matukio yanayozungumziwa. Wazia kikao. Sikia sauti. Hisi kama wahusika wakuu wanavyohisi. Wazia kwamba masimulizi haya ni halisi kabisa.

CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA YOHANA 11:1-45.

Unaposoma mistari ya 21 na 32, unafikiri Martha na Maria walikuwa wanahisi namna gani?

․․․․․

Unafikiri Yesu alionyesha hisia kali jinsi gani kama inavyoelezwa katika mistari ya 33 na 35?

․․․․․

Unaposoma mistari 43 na 44, unafikiri Lazaro alihisi jinsi gani, na unafikiri wale watu wengine walihisi jinsi gani?

CHIMBA ZAIDI.

Bethania ilikuwa mwendo wa siku mbili kutoka mahali Yesu alipokuwa. Kwa hiyo, kwa nini Yesu aliamua kukawia? (Soma tena mstari wa 6.)

․․․․․

Biblia inaonyesha jinsi gani kwamba Maria na Martha walipendezwa na mambo ya kiroho? (Luka 10:38, 39; Yohana 11:24)

․․․․․

Kwa nini Yesu aliwafufua watu ingawa wangekufa tena? (Marko 1:41, 42; Yohana 5:28, 29; 11:45)

․․․․․

TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA KUHUSU . . .

Uwezo wa Yesu na utayari wake wa kuwafufua wafu.

․․․․․

Jinsi Yesu alivyo na huruma nyingi kuelekea wale wanaoteseka.

․․․․․

NI NANI AMBAYE UNGEPENDA KUKUTANA NAYE WAKATI WA UFUFUO?

․․․․․

NI MAMBO GANI KATIKA SIMULIZI HILI AMBAYO YAMEKUGUSA MOYO SANA, NA KWA NINI?

․․․․․