Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ukweli

Ukweli

Unaweza kuipata wapi?

Inawezaje kukunufaisha wewe na familia yako?

Tunakukaribisha kwa uchangamfu uhudhurie kusanyiko la siku tatu la mwaka huu la Mashahidi wa Yehova.

KICHWA:

‘Neno la Mungu Ni Kweli!’

kinategemea maneno ya Yesu kwenye Yohana 17:17.

MAMBO MAKUU:

Hotuba yenye kusisimua iliyo na kichwa “Kweli Ni Nini?” itazungumzia kwa nini tunaweza kutegemea Neno la Mungu, Biblia.

Drama mbili zitaonyesha uhalisi wa hadithi za Biblia na mambo tunayojifunza kutokana nazo.

NI NANI WANAOWEZA KUHUDHURIA?

Watu wote. Hutatozwa kiingilio, na hakuna sadaka zitakazokusanywa.

WAKATI NA MAHALI:

Tafuta kusanyiko lililo karibu nawe, na utazame video kuhusu makusanyiko yetu kwenye www.pr418.com/sw (Angalia chini ya KUTUHUSU/MAKUSANYIKO)

Tembelea www.pr418.com/sw ili uone programu (Angalia chini ya MACHAPISHO/VITABU NA BROSHUA)