Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 116

Nguvu za Fadhili

Nguvu za Fadhili

(Waefeso 4:32)

  1. 1. Yehova Mungu tunakusifu,

    Kwa hekima yako.

    Japo ukuu, na nguvu zako,

    Watuonyesha fadhili.

  2. 2. Mwanao Yesu akaribisha,

    Wataabikao.

    Waichukue nira laini,

    Wapate kuburudishwa.

  3. 3. Yehova Mungu na Yesu Kristo,

    Tuwaige wao.

    Katika yote tuyafanyayo,

    Na tuonyeshe fadhili.