Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”

Nehemia anaongoza kazi ya kujenga upya kuta za Yerusalemu na kurudisha ibada safi ya Yehova.

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya  1

Nehemia anajaribu kujenga upya kuta za Yerusalemu licha ya upinzani wa kila aina.

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya 2

Kuta zimekamilika, lakini je, Nehemia anaweza kufanya taifa hilo liwe na hali nzuri ya kiroho tena?