Hamia kwenye habari

Mashahidi wa Yehova—Tengenezo Linalohubiri Habari Njema

Kwa zaidi ya miaka 100, Mashahidi wa Yehova wamepangwa kitengenezo ili wahubiri habari njema. Ujumbe huo unahubiriwa katika mamia ya lugha na watu katika nchi zaidi ya 200 wameukubali. Kwa nini kazi hii ni ya muhimu? Inatimizwaje ulimwenguni pote? Video hii inajibu maswali hayo kwa kukuonyesha waziwazi utendaji wetu ulimwenguni pote.

 

Huenda Ukapenda Pia

VIDEO ZA MASIMULIZI

Ushirika Mzima wa Ndugu Zetu

Ni nini kinachowasaidia Mashahidi wa Yehova kudumisha undugu wao wa ulimwenguni pote katika ulimwengu huu usio na upendo?