Tafuta Majibu ya Maswali Haya
1. Tutapata matokeo gani tukionyesha imani? (Yoh 3:16)
2. Tunaweza kuigaje imani ya Isaka na Rebeka, Esta, na Timotheo? (Mhu 4:11, 12; Zb 119:46; 2Ti 1:5)
3. Ni nini kitakachotuchochea kuendelea kuhubiri licha ya changamoto? (2Ko 4:13)
4. Tunaweza kutembeaje kwa imani kila siku? (2Ko 5:7)
5. Tunaweza kufanya nini ili tujulikane na Yehova? (2Ti 2:19; Yak 4:6; 2Ko 13:5)