Tafuta Majibu ya Maswali Haya
1. Tunawezaje kuwatambua marafiki wa amani? (Luka 10:6)
2. Tunawezaje kuwasaidia marafiki wa amani wawe marafiki wa Mungu? (Mt. 10:11)
3. Mkuu wa Amani anatusaidiaje kutafuta marafiki wa amani? (Isa. 9:6, 7; Mt. 28:20)
4. Tunawezaje kuonyesha kwamba sisi ni marafiki wa amani? (Zb. 11:5; 2 Tim. 2:24; Yak. 3:17, 18)
5. Marafiki wa amani wanasaidianaje? (2 Kor. 6:13)
6. Tunawezaje ‘kuendelea kuushinda uovu kwa wema’? (Rom. 12:2, 6, 10, 18)
© 2022 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-brpgm23-SW