Jumamosi
“Iweni na subira kwa watu wote”—1 Wathesalonike 5:14
Asubuhi
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 58 na Sala
-
3:40 MFULULIZO: “Tunajipendekeza Kuwa Wahudumu wa Mungu . . . kwa Subira”
-
• Tunapohubiri (Matendo 26:29; 2 Wakorintho 6:4, 6)
-
• Tunapowafundisha Wanafunzi wa Biblia (Yohana 16:12)
-
• Tunapotiana Moyo (1 Wathesalonike 5:11)
-
• Tunapotumikia Tukiwa Wazee (2 Timotheo 4:2)
-
-
4:30 Ninyi Ambao Mmeonyeshwa Subira, Onyesheni Subira! (Mathayo 7:1, 2; 18:23-35)
-
4:50 Wimbo Na. 138 na Matangazo
-
5:00 MFULULIZO: ‘Kwa Subira Vumilianeni kwa Upendo’
-
• Watu wa Ukoo Wasio Waamini (Wakolosai 4:6)
-
• Mwenzi Wako wa Ndoa (Methali 19:11)
-
• Watoto Wako (2 Timotheo 3:14)
-
• Watu wa Familia Wenye Matatizo ya Afya au Wazeewazee (Waebrania 13:16)
-
-
5:45 UBATIZO: Subira ya Yehova Ni Wokovu Wetu! (2 Petro 3:13-15)
-
6:15 Wimbo Na. 75 na Mapumziko
Alasiri
-
7:35 Video ya Muziki
-
7:45 Wimbo Na. 106
-
7:50 Kwa Nini Ujihadhari na Mwelekeo wa Kutosheleza Tamaa Papo Hapo? (1 Wathesalonike 4:3-5; 1 Yohana 2:17)
-
8:15 MFULULIZO: “Ni Bora Kuwa na Subira Kuliko Kuwa na Roho ya Kiburi”
-
• Mwige Abeli, Si Adamu (Mhubiri 7:8)
-
• Mwige Yakobo, Si Esau (Waebrania 12:16)
-
• Mwige Musa, Si Kora (Hesabu 16:9, 10)
-
• Mwige Samweli, Si Sauli (1 Samweli 15:22)
-
• Mwige Yonathani, Si Absalomu (1 Samweli 23:16-18)
-
-
9:15 Wimbo Na. 87 na Matangazo
-
9:25 DRAMA: “Mkabidhi Yehova Njia Yako”—Sehemu ya 1 (Zaburi 37:5)
-
9:55 “Tunapoteswa, Tunavumilia kwa Subira” (1 Wakorintho 4:12; Waroma 12:14, 21)
-
10:30 Wimbo Na. 79 na Sala ya Mwisho