2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova

Soma kuhusu utendaji wa Mashahidi wa Yehova kwa mwaka wa 2015 na historia yao nchini Indonesia.

Andiko la Mwaka 2016

Waebrania 13:1 lina himizo na pongezi.

Barua Kutoka Baraza Linaloongoza

Habari hizi zenye kutia moyo zinaonyesha jinsi ambavyo maandalizi kama vile tovuti ya jw.org, JW Broadcasting, mahubiri ya hadharani ya vigari, na Makusanyiko ya Eneo ya mwaka wa 2015 yalivyothibitika kuwa baraka halisi.

“Tunaipenda Sana JW Broadcasting!”

Ni mambo gani yaliyohusika katika kutayarisha kituo hicho cha televisheni kupitia intaneti?

Ujenzi wa Majumba ya Ufalme Waharakishwa

Kazi imepangwa upya ili maelfu ya majumba ya ufalme yajengwe.

Maendeleo ya Ujenzi Huko Warwick

Pata habari za karibuni kuhusu ujenzi wa makao makuu ya Mashahidi wa Yehova.

Kuwafikia Watu Wasiofikiwa

Ni nini kilichomchochea Terry kuamini kwamba yale aliyosikia kutoka kwa Mashahidi wa Yehova ni jibu kwa sala yake?

Nuru Yazidi Kuongezeka

Katika sehemu hii, soma jinsi Yehova anavyoendelea kuwaangazia njia waabudu wa kweli.

Kuwekwa Wakfu kwa Ofisi za Tawi

Mashahidi wa Yehova nchini Madagaska na Indonesia walipokea baraka za pekee katika mwaka wa 2015.

Kutafsiri Biblia Katika Lugha Nyingi

Matoleo 16 yalitolewa katika mwaka wa utumishi wa 2015.

Ripoti ya Mambo ya Kisheria

Vita dhidi ya ubaguzi wa kidini inaendelea ulimwenguni pote.

Habari Fupi—Kutoka Sehemu Mbalimbali Ulimwenguni

Mchango wa Ken uliosaidia katika ujenzi wa Jumba la Ufalme.

Afrika

Mashahidi wametumia mbinu gani mpya ili kuhubiri habari njema?

Amerika

Kwa nini mwanamke fulani aliamua kujifunza akiwa shambani kwa kutumia mshumaa? Ni nini kilichomchochea chifu wa jamii ya Amerindian kuwakaribisha Mashahidi? Na kwa nini aliyekuwa mtesaji alilia?

Asia na Mashariki ya Kati

Hakuna kinachowazuia Wahubiri wa Ufalme—uwe ulemavu au kufungwa.

Ulaya

Jinsi Mwanaume Mromani, mfungwa, na mwanamke aliyetaka kujiua walivyovutiwa na ujumbe wa kweli.

Oceania

Meza za machapisho, vigari vya machapisho, tovuti ya jw.org, na video za kitheokrasi zimesaidia kupanda mbegu za kweli kwa maelfu ya watu!

Maelezo Mafupi Kuhusu Indonesia

Pata maelezo mafupi kuhusu nchi, watu, na desturi za watu wa kisiwa kikubwa zaidi duniani.

Biashara ya Viungo

Katika karne ya 16, biashara ya viungo ilichangia sana ukuzi wa uchumi wa ulimwengu.

Ningependa Nianzie Hapa!

Makolpota (mapainia) wa wachache kutoka Australia walikabili changamoto mbalimbali walipokuwa wakianzisha kazi ya kuhubiri.

Mbinu za Awali za Kuhubiri

Radio broadcasts and harbor witnessing aroused the anger of powerful adversaries of the truth in Indonesia.

Kikundi cha Bibelkring

Kikundi hicho kilianzishwa kwa kutegemea machapisho ya Mashahidi wa Yehova lakini kilikuwa kinajiongoza kwa maoni ya wanadamu.

Alithamini Utajiri wa Kiroho

Watu wenye fujo walipora nyumbani Thio Seng Bie huku akishuhudia, hata hivyo, waliacha kitu alichothamini sana kuliko vitu alivyopoteza.

Matokeo Mazuri Katika Java Magharibi

Machapisho yalipoendelea kupigwa marufuku, Mashahidi waliendelea kuhubiri kwa busara.

Utawala wa Japani

Wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu baadhi ya Mashahidi waligundua njia mpya ya kujiandikisha bila kuathiri msimamo wao wa kutounga mkono upande wowote wakati wa utawala wa Japani.

Painia Jasiri

Katika kipindi chote cha miaka 60 ya utumishi, André Elias alidumisha uaminifu licha kuhojiwa na kutishwa.

Wamishonari Kutoka Gileadi Wawasili

Wamishonari wa kwanza kutoka Gileadi waliwasili kuendeleza kazi ya kuhubiri ifanywe haraka.

Kazi Yaongezeka Eneo la Mashariki

Je, wakati huu makasisi wangefanikiwa?

Wamishonari Zaidi Wawasili

Utendaji wa kazi ya kuhubiri habari njema uliathirika haraka katika miaka ya 1970.

Binti Halisi wa Sara

Titi Koetin alijitiisha kwa mume wake, jambo lililompatia baraka nyingi.

Kusanyiko la Kihistoria

Kusanyiko la “Habari Njema za Milele” lilifanikiwa kufanyika mwaka 1963 licha vipingamizi vingi.

Niliokoka Machafuko ya Ukomunisti

Kaburi la Ronald Jacka lilikuwa limeandaliwa.

Painia wa Pekee kwa Miaka Hamsini

Mwaka wa 1964 mhudumu wa Kiprotestanti alinitishia akisema, ‘Nitawafutilia mbali Mashahidi wa Yehova wa Manokwari!’ Je, alifaulu?

Kiongozi wa Uhalifu Awa Raia Mwema

Mkuu wa kitengo cha ujasusi aliuliza hivi: “Mashahidi wa Yehova wanafanya nini hasa nchini Indonesia?”

Waliazimia Kusonga Mbele

Nini kilichowachochea baadhi ya watu kusema, “Mashahidi wa Yehova ni kama msumari”?

Hawakuacha Kukusanyika Pamoja

Mashahidi wa Yehova walipoondolewa Marufuku, ofisa mmoja alisema hivi: “Barua hii ya kuwaandikisha haiwapatii uhuru wa ibada.”

Upendo wa Kikristo Majanga Yanapotokea

Mashahidi wa Yehova walifanya haraka kutoa msaada tetemeko lilipotokea katika mji wa Gunungsitoli nchini Indonesia.

Hatutakana Imani Yetu

Daniel Lokollo anakumbuka jinsi alivyoteswa na walinzi wa gereza.

Kutii Mwongozo Kulitusaidia Kuokoka!

Mgogoro kati ya Waislamu na Wakristo nchini Indonesia ulisababisha hali kwa Mashahidi wa Yehova.

Kazi Yapamba Moto

Marufuku ilipoondolewa, akina walifaidika sana kwa namna tatu.

Kutangaza Jina la Yehova kwa Ujasiri

Mashahidi wamekabili jinsi gani changamoto za tabia na utamaduni ambazo zingeathiri ujasiri?

Ofisi ya Tawi Iliyo Angani

Wajitoleaji waliokuwa wanatafuta eneo la kujitolea wamelipata.

Yehova Ametubariki Zaidi ya Tulivyotarajia!

Kutaniko katika kijiji cha Tugala, Indonesia, lilipata baraka nyingi bila kutajarajia.

Hatimaye Tumeungana Tena!

Dada viziwi wawili wa familia moja nchini Indonesia walitengana, mmoja alipopelekwa kuishi na familia nyingine. Hata hivyo, kweli iliwaunganisha tena.

Miaka Mia Moja Iliyopita—1916

Tukio lililotukia mwaka wa 1916 lingekuwa na maana kubwa kwa Wanafunzi wa Biblia.

Jumla Kuu mwaka 2015

Ni jitihada na gharama gani tulizotumia katika kazi ya kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu?

Kuadhimisha Ukumbusho—Ijumaa, Aprili 3, 2015

Kampeni ya majuma manne ilikuwa na matokeo mazuri.