Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Somo la 3

Somo la 3

David amepigiwa simu kwamba rafiki yake ni mgonjwa.

Basi anasema: “Najua nitafanya nini.

Nitamwandikia barua ya kumtakia apone haraka, halafu nimpe!”

Ukiwafanyia wengine mazuri, nyote mtakuwa na furaha!

MAZOEZI

Msomee mtoto wako:

1 Petro 3:8

Mwombe mtoto wako akuonyeshe:

Nyumba Meza David

Jua Ndege Mti

Muulize mtoto wako:

Unajua mtu yeyote ambaye ni mgonjwa?

Tunaweza kumsaidiaje?