Somo la 4
Mvua inanyesha.
“Siwezi kutoka nje.
Kwa nini mvua haiachi kunyesha?”
Mary alalamika.
Ghafula! Jua latokea.
Mvua imeacha kunyesha.
Mary anafurahi!
Anakimbia nje, halafu, anaona kitu cha ajabu.
Mary anasema, “Sikujua mvua ya Mungu inaweza kufanya maua yamee!”
MAZOEZI
Msomee mtoto wako:
Mwombe mtoto wako akuonyeshe:
Dirisha Ndege Mary
Mti Maua
Tafuteni vitu hivi.
Mpira Ndege ya abiria
Muulize mtoto wako:
Kwa nini Yehova aliumba mvua?