Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Somo la 5

Somo la 5

Rafiki yako akikupa zawadi au akufanyie jambo zuri, unaweza kucheka kidogo ili kumwonyesha umefurahi!

Lakini popote ulipo na lolote unalofanya, sikuzote kumbuka kusema “Asante!”

MAZOEZI

Msomee mtoto wako:

1 Wathesalonike 5:18

Mwombe mtoto wako akuonyeshe:

Zawadi Mvulana

Mlango Chakula

Tafuteni vitu hivi.

Tunda Simu

Muulize mtoto wako:

Kwa nini ni vizuri kusema “Asante”?