Je, Umeipata Barabara Inayoongoza Kwenye Uhai wa Milele?

Kuna aina mbili tu za dini: moja inaongoza kwenye uzima na nyingine kwenye uharibifu. Broshua hii itakusaidia kupata barabara inayoongoza kwenye uzima wa milele.

Utangulizi

Uhai wetu wa sasa na wa wakati ujao unamtegemea Mungu Mweza Yote. Basi ni jambo muhimu sana kwamba ibada yetu ikubalike kwake!

SEHEMU YA 1

Je, Dini Zote Hufundisha Kweli?

Wafuasi wa dini wana itikadi nyingi zinazotofautiana. Je, itikadi hizo zote zinategemea ukweli?

SEHEMU YA 2

Unawezaje Kujifunza Kweli Kumhusu Mungu?

Ni nini kinachoweza kutusaidia kujua dini ya kweli?

SEHEMU YA 3

Ni Nani Wanaoishi Katika Makao ya Roho?

Itikadi za kale zimekuwa na uvutano mkubwa katika dini barani Afrika. Je, itikadi hizo ni za kweli? Biblia inatoa jibu.

SEHEMU YA 4

Wazazi Wetu wa Kale Wako Wapi?

Watu wengi wanaamini kwamba kifo si mwisho wa uhai, bali ni kuhamishwa kwenda kwenye uhai mwingine. Biblia inasema nini?

SEHEMU YA 5

Ukweli Kuhusu Uchawi na Ulozi

Roho waovu wana nguvu nao ni hatari, lakini hatupaswi kuwaogopa.

SEHEMU YA 6

Je, Mungu Huzikubali Dini Zote?

Watu fulani huamini kwamba dini zote zinampendeza Mungu.. Je, kweli Biblia inafundisha hivyo?

SEHEMU YA 7

Ni Nani Wanaofuata Dini ya Kweli?

Biblia inaweza kukusaidia utambue wale wanaofanya mapenzi ya Mungu.

SEHEMU YA 8

Kataa Dini Isiyo ya Kweli; Fuata Dini ya Kweli

Yesu akasema: “Yeyote asiye upande wangu ananipinga.” Unawezaje kuonyesha msimamo wako?

SEHEMU YA 9

Dini ya Kweli Inaweza Kukufaidi Milele!

Ukimwabudu Yehova, atakubariki sasa na wakati ujao.