Hamia kwenye habari

DRAMA YA 1

Nuru ya Kweli ya Ulimwengu

Nuru ya Kweli ya Ulimwengu

Hapo mwanzo Neno alikuwako pamoja na Mungu naye alikuwa mungu (gnj 1 00:00–00:43)

Neno alitumiwa na Mungu kuumba vitu vingine vyote (gnj 1 00:44–01:00)

Uzima na nuru vilikuja kuwako kupitia kwa Neno (gnj 1 01:01–02:11)

Giza halijaishinda nuru (gnj 1 02:12–03:59)

Luka anaeleza sababu na hali zilizomwongoza kuandika simulizi lake, anamwandikia Theofilo (gnj 1 04:13–06:02)

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (gnj 1 06:04–13:53)

Gabrieli anatabiri kuzaliwa kwa Yesu (gnj 1 13:52–18:26)

Maria anamtembelea Elisabeti mtu wake wa ukoo (gnj 1 18:27–21:15)

Maria anamtukuza Yehova (gnj 1 21:14–24:00)

Kuzaliwa kwa Yohana na kupewa jina (gnj 1 24:01–27:17)

Unabii wa Zekaria (gnj 1 27:15–30:56)

Maria anapata mimba kupitia roho takatifu; jinsi Yosefu alivyotenda (gnj 1 30:58–35:29)

Yosefu na Maria wanasafiri kwenda Bethlehemu; Yesu anazaliwa (gnj 1 35:30–39:53)

Malaika wanawatokea wachungaji waliokuwa nje (gnj 1 39:54–41:40)

Wachungaji wanaenda kwenye hori (gnj 1 41:41–43:53)

Yesu anatolewa kwa Yehova hekaluni (gnj 1 43:56–45:02)

Simeoni anapata pendeleo la kumwona Kristo (gnj 1 45:04–48:50)

Ana anazungumza kumhusu mtoto huyo (gnj 1 48:52–50:21)

Ziara ya wanajimu na njama ya Herode ya kuua (gnj 1 50:25–55:52)

Yosefu anamchukua Maria na Yesu na kukimbilia Misri (gnj 1 55:53–57:34)

Herode awaua wavulana wadogo Bethlehemu na katika wilaya zake zote (gnj 1 57:35–59:32)

Familia ya Yesu inakaa Nazareti (gnj 1 59:34–1:03:55)

Yesu aenda hekaluni akiwa na umri wa miaka 12 (gnj 1 1:04:00–1:09:40)

Yesu anarudi Nazareti na wazazi wake (gnj 1 1:09:41–1:10:27)

Nuru ya kweli ilikuwa karibu kuja ulimwenguni (gnj 1 1:10:28–1:10:55)