Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA TANO

“Nitakaa Kati ya Watu”​—Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa

“Nitakaa Kati ya Watu”​—Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa

EZEKIELI 43:7

WAZO KUU: Hekalu aliloona Ezekieli na mambo tunayojifunza kuhusu ibada safi

Yehova aliwapa nabii Ezekieli na mtume Yohana maono yanayofanana. Maono hayo yanatufundisha masomo muhimu yanayotusaidia kumwabudu Yehova kwa njia anayoikubali sasa na kutuonyesha jinsi maisha yatakavyokuwa katika Paradiso chini ya Ufalme wa Mungu.

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 19

“Mahali Ambapo Kijito Hicho Kinapita, Kila Kitu Kitaishi”

Kwa nini tunaweza kusema kwamba maono ya Ezekieli kuhusu mto unaotiririka kutoka hekaluni yalitimizwa, yanaendelea kutimizwa, na yataendelea kutimizwa wakati ujao?

SURA YA 20

‘Mtaigawa Nchi Iwe Urithi’

Katika maono, Mungu anamwagiza Ezekieli na wahamishwa wenzake waigawe Nchi ya Ahadi kati ya makabila ya Israeli.

SURA YA 21

“Jina la Jiji Hilo . . . Litakuwa, Yehova Yupo Hapo”

Tunapata masomo gani kutokana na maono ya Ezekieli kuhusu jiji na jina lake lenye maana?

SURA YA 22

“Mwabudu Mungu”

Kitabu hiki kimekusudiwa kuimarisha azimio letu la kumwabudu Yehova peke yake.