Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 12A

Kuunganishwa kwa Vijiti Viwili

Kuunganishwa kwa Vijiti Viwili

Yehova anamwagiza Ezekieli aandike kwenye kijiti kimoja “kwa ajili ya Yuda” na kingine “kwa ajili ya Yosefu, kijiti cha Efraimu.”

“kwa ajili ya Yuda”

NYAKATI ZA KALE

Ufalme wa Yuda wenye makabila mawili

NYAKATI ZA KISASA

Watiwa mafuta

“kwa ajili ya Yosefu, kijiti cha Efraimu”

NYAKATI ZA KALE

Ufalme wa Israeli wenye makabila kumi

NYAKATI ZA KISASA

Kondoo wengine

“viwe kijiti kimoja tu mkononi mwako”

NYAKATI ZA KALE

537 K.W.K. Waabudu wa kweli warudi kutoka katika mataifa, wajenga upya Yerusalemu, na kuabudu wakiwa taifa moja.

NYAKATI ZA KISASA

Tangu 1919, watu wa Mungu wanapangwa hatua kwa hatua na kuunganishwa ili watumikie wakiwa “kundi moja.”