Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 6A

“Nyoa Kichwa Chako na Ndevu Zako”

“Nyoa Kichwa Chako na Ndevu Zako”

Ezekieli aliigiza matukio ambayo yangetokea baada ya muda mfupi huko Yerusalemu

  • “Nyoa”

    Wayahudi wangeshambuliwa na kuangamizwa

  • ‘Pima na Kuzigawa’

    Hukumu itatekelezwa kwa makini na kikamili

  • ‘Teketeza’

    Baadhi ya watu wangekufa jijini

  • ‘Piga kwa Upanga’

    Baadhi ya watu wangeuawa nje ya jiji

  • ‘Tawanya’

    Baadhi ya watu wangeponyoka, lakini hawangepata amani

  • ‘Funga’

    Baadhi ya wahamishwa wangerudi Yerusalemu, na ibada safi ingerudishwa