SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 8A
Unabii Kumhusu Masihi—Mwerezi Mkubwa
EZEKIELI 17:3-24
-
1. Nebukadneza ampeleka Yehoyakini Babiloni
-
2. Nebukadneza amweka Sedekia kuwa mtawala huko Yerusalemu
-
3. Sedekia amwasi Yehova na kugeukia Misri ili kupata msaada wa kijeshi
-
4. Yehova amweka Mwana wake juu ya Mlima Sayuni ulio mbinguni
-
5. Chini ya kivuli cha utawala wa Ufalme wa Yesu, wanadamu watiifu wataishi kwa usalama