SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 11A
Baadhi ya Walinzi Walioweka Mfano Mzuri
Walinzi hawa walikabili upinzani, lakini waliendelea kuwa washikamanifu, na walitangaza maonyo na pia habari njema.
ISRAELI LA KALE
-
Isaya 778–karibu 732 K.W.K.
-
Yeremia 647-580 K.W.K.
-
Ezekieli 613–karibu 591 K.W.K.
KARNE YA KWANZA
-
Yohana Mbatizaji 29-32 W.K.
-
Yesu 29-33 W.K.
-
Paulo karibu 34–karibu 65 W.K.
NYAKATI ZETU
-
C. T. Russell na Wenzake karibu 1879-1919
-
Mtumwa Mwaminifu 1919–Leo