SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 22A
Kukabili Jaribu la Mwisho
-
Wanadamu Wafanywa Kuwa Wakamilifu Tena—1 KOR. 15:26
-
Yesu Amrudishia Yehova Ufalme—1 KOR. 15:24
-
Shetani Aachiliwa Kutoka Katika Shimo Refu Lisilo na Mwisho; Waasi Wajiunga na Shetani Katika Shambulizi la Mwisho—UFU. 20:3, 7, 8
-
Waasi Wote Waangamizwa—UFU. 20:9, 10, 15
-
Kuishi Milele kwa Amani na Umoja—ROM. 8:19-21