SEHEMU YA NNE
“Nitalitetea Jina Langu Takatifu Kwa Bidii”—Ibada Safi Yaokoka Shambulizi
WAZO KUU: Yehova awalinda watu wake wakati wa dhiki kuu
Yehova anawapenda watu, lakini pia tunawajibika mbele zake kwa ajili ya matendo yetu. Anahisije kuhusu wale wanaodai kwamba wanamwabudu lakini wanatenda tofauti? Atatumia njia gani kuamua wale watakaookoka dhiki kuu? Na kwa nini Yehova, Mungu mwenye upendo, atawaangamiza mamilioni ya watu waovu?
KATIKA SEHEMU HII
SURA YA 15
“Nitakomesha Ukahaba Wako”
Tunaweza kujifunza nini kutokana na ufafanuzi wa makahaba katika Ezekieli na Ufunuo?
SURA YA 16
“Uyatie Alama Mapaji ya Nyuso”
Katika siku za Ezekieli, watu waaminifu walitiwa alama ya kuokoka, hilo linatuhusuje leo?
SURA YA 18
“Ghadhabu Yangu Kali Itawaka”
Shambulizi la Gogu lafanya Yehova akasirike, na kumfanya Mungu awalinde watu wake.