Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Tafuta Majibu ya Maswali Haya

Tafuta Majibu ya Maswali Haya
  1. 1. Tuna mapendeleo gani tukiwa watumishi wa Yehova? (Met. 27:11)

  2. 2. Tunaweza kumwigaje Yesu na kuufanya moyo wa Yehova ushangilie? (Yoh 8:29)

  3. 3. Tunaweza kumleteaje Yehova shangwe tunapokuwa katika huduma? (Yoh. 15:8)

  4. 4. Tunaweza kumfurahishaje Yehova katika sehemu zote za maisha yetu? (Yoh. 14:31; Efe. 6:1-4; Zab. 35:18; 1 Pet. 2:12)

  5. 5. Tunaweza kukabilianaje kwa mafanikio na majaribu, mambo yanayovunja moyo, na vishawishi? (Neh. 8:10)