Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

“Furahini kwa Sababu ya Yehova”

“Furahini kwa Sababu ya Yehova”

Zaburi 32:11

ASUBUHI

  • 3:40 Muziki

  • 3:50 Wimbo Na. 9 na Sala

  • 4:00 “Furahini kwa Sababu ya Yehova na Kushangilia”

  • 4:15 Kupata Shangwe Licha ya Hali Ngumu

  • 4:30 ‘Jawa na Shangwe’ katika Huduma Yako

  • 4:55 Wimbo Na. 76 na Matangazo

  • 5:05 Msiache Mioyo Yenu ‘Ilemewe’

  • 5:35 Wakfu na Ubatizo

  • 6:05 Wimbo Na. 51

ALASIRI

  • 7:20 Muziki

  • 7:30 Wimbo Na. 111

  • 7:35 Mambo Yaliyoonwa

  • 7:45 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi

  • 8:15 Mfululizo: Yehova Anafanya Tuwe na Shangwe

    • • Tunapofanya Wanafunzi

    • • Tunapowasaidia Waamini Wenzetu

    • • Tunapovumilia Majaribu

  • 9:00 Wimbo Na. 2 na Matangazo

  • 9:10 Mweke Yehova Mbele Yako Daima

  • 9:55 Wimbo Na. 7 na Sala