Tafuta Majibu ya Maswali Haya
-
Tunapaswa kutafuta wapi uwezo na nguvu? (Yos. 1:9; Zab. 68:35)
-
Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kujenga imani yenye nguvu? (Ebr. 11:6)
-
Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba tutafaulu katika kazi ambayo Yehova ametupa? (Hag. 2:4-9)
-
Zab. 18:6, 30; Kol. 4:10, 11, maelezo ya chini)
Yehova anatuimarishaje tunapokabili majaribu makali? ( -
Ni nini kitakachowasaidia vijana na wenzi wa ndoa kutetea enzi kuu ya Yehova? (Mt. 22:37, 39)
-
Tunawezaje ‘kusimama imara katika imani’ na ‘kuwa na nguvu’? (1 Kor. 16:13; Rom. 15:5; Ebr. 5:11–6:1; 12:16, 17)