Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Tafuta Majibu ya Maswali Haya

Tafuta Majibu ya Maswali Haya
  1. Tunapaswa kutafuta wapi uwezo na nguvu? (Yos. 1:9; Zab. 68:35)

  2. Tunaweza kufanya nini ili tuendelee kujenga imani yenye nguvu? (Ebr. 11:6)

  3. Kwa nini tunaweza kuwa na uhakika kwamba tutafaulu katika kazi ambayo Yehova ametupa? (Hag. 2:4-9)

  4. Yehova anatuimarishaje tunapokabili majaribu makali? (Zab. 18:6, 30; Kol. 4:10, 11, maelezo ya chini)

  5. Ni nini kitakachowasaidia vijana na wenzi wa ndoa kutetea enzi kuu ya Yehova? (Mt. 22:37, 39)

  6. Tunawezaje ‘kusimama imara katika imani’ na ‘kuwa na nguvu’? (1 Kor. 16:13; Rom. 15:5; Ebr. 5:11–6:1; 12:16, 17)