Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 5 • MATENDO 15:1-35

“Mitume na Wazee Wakakusanyika Pamoja”

“Mitume na Wazee Wakakusanyika Pamoja”

MATENDO 15:6

Suala zito lililotishia amani na umoja wa makutaniko lilitokea. Makutaniko yangepata wapi mwongozo wa kutatatua suala hilo? Katika sehemu hii, tutajifunza jinsi kutaniko la karne ya kwanza lilivyopangwa. Mpango huo unafuatwa na watu wa Mungu leo.