Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 7 • MATENDO 18:23–21:17

“Kufundisha Hadharani na Nyumba kwa Nyumba”

“Kufundisha Hadharani na Nyumba kwa Nyumba”

MATENDO 20:20

Kwa nini tunahitaji kuwa wanyenyekevu na kubadilika kulingana na hali tunapowafundisha wengine? Ni njia gani kuu ya kuhubiri tunayotumia? Tunawezaje kuonyesha kwamba kufanya mapenzi ya Mungu ni muhimu kuliko shughuli zetu za kibinafsi? Masimulizi yenye kusisimua ya safari ya tatu na ya mwisho ya umishonari ya Paulo yanaweza kutusaidia kujibu maswali hayo muhimu.