Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 8 • MATENDO 21:18–28:31

“Akiwahubiria Ufalme wa Mungu . . . Bila Kizuizi”

“Akiwahubiria Ufalme wa Mungu . . . Bila Kizuizi”

MATENDO 28:31

Katika sehemu hii, tutaandamana na Paulo anapokabiliana na umati wenye vurugu, akiwa gerezani, na anapofikishwa mbele ya maofisa mbalimbali Waroma. Licha ya yote hayo, mtume huyo anaendelea kutoa ushahidi kuhusu Ufalme wa Mungu. Unapochunguza sehemu ya kumalizia yenye kusisimua ya kitabu cha Matendo, jiulize: ‘Ninaweza kumwigaje mweneza–injili huyu jasiri na mwenye bidii?’