Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 3 • MATENDO 10:1–12:25

“Watu wa Mataifa . . . Wamelikubali Neno la Mungu”

“Watu wa Mataifa . . . Wamelikubali Neno la Mungu”

MATENDO 11:1

Je, Wayahudi ambao sasa ni wafuasi wa Yesu watakubali kuwahubiria habari njema Watu wa Mataifa wasiotahiriwa? Katika sehemu hii tutaona jinsi roho ya Yehova ilivyowasaidia Wakristo kushinda ubaguzi, na kuwa na bidii katika kazi ya kutoa ushahidi kwa watu wa mataifa yote.