Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 4 • MATENDO 13:1–14:28

“Waliotumwa na Roho Takatifu”

“Waliotumwa na Roho Takatifu”

MATENDO 13:4

Katika sehemu hii, tutachunguza safari ya kwanza ya umishonari ya mtume Paulo. Mtume huyo aliteswa katika jiji moja baada ya lingine. Hata hivyo, akiongozwa na roho takatifu, aliendelea kutoa ushahidi, na kuanzisha makutaniko mapya. Masimulizi hayo yenye kusisimua yatatuchochea kuwa na bidii hata zaidi katika huduma yetu.