Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 6 • MATENDO 15:36–18:22

“Turudi Tukawatembelee Akina Ndugu”

“Turudi Tukawatembelee Akina Ndugu”

MATENDO 15:36

Waangalizi wa mzunguko wana jukumu gani muhimu katika kutaniko la Kikristo? Ni baraka gani tunazopata tunapokubali kwa hiari migawo ya Kitheokrasi? Tunawezaje kuitumia Biblia vizuri tunapojadiliana na watu, na kwa nini tunapaswa kubadilika kulingana na hali za watu? Tutapata majibu ya maswali hayo na mengine tunaposafiri na mtume Paulo katika safari yake ya pili ya umishonari.