Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SEHEMU YA 1 • MATENDO 1:1–6:7

“Mmejaza Yerusalemu Fundisho Lenu”

“Mmejaza Yerusalemu Fundisho Lenu”

MATENDO 5:28

Baada tu ya kupokea roho takatifu siku ya Pentekoste mwaka wa 33 W.K., wanafunzi wa Yesu walianza kufanya kazi ya kutoa ushahidi kuhusu Ufalme wa Mungu. Katika sehemu hii tutachunguza habari zenye kusisimua kuhusiana na kuanzishwa kwa kutaniko la Kikristo, kuenea kwa kazi ya kuhubiri huko Yerusalemu, na ujasiri wa mitume licha ya upinzani uliokuwa ukiongezeka.