Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Sehemu ya 2

“Bwana Hupenda Haki”

“Bwana Hupenda Haki”

Mungu hulaumiwa isivyofaa kwa sababu ya ukosefu wa haki unaoenea ulimwenguni leo. Lakini, Biblia hufundisha ukweli unaotia moyo, yaani, “BWANA hupenda haki.” (Zaburi 37:28) Katika sehemu hii tutajifunza jinsi ambavyo ametenda kupatana na maneno hayo, na kuwapa wanadamu wote tumaini.

 

KATIKA SEHEMU HII

SURA YA 11

“Njia Zake Zote Ni Haki”

Sifa ya haki ya Mungu inavutia jinsi gani?

SURA YA 12

“Je, kwa Mungu Kuna Ukosefu wa Haki?”

Ikiwa Yehova anachukia ukosefu wa haki, kwa nini basi umejaa ulimwenguni?

SURA YA 13

“Sheria ya Bwana Ni Kamilifu”

Mfumo wa sheria unawezaje kuchochea upendo?

SURA YA 14

Yehova Atoa “Fidia Katika Kubadilishana kwa Ajili ya Wengi”

Fundisho rahisi lakini lenye maana sana linaweza kukusaidia umkaribie Mungu.

SURA YA 15

Yesu ‘Aimarisha Haki Duniani’

Yesu alitekelezaje haki wakati uliopita? Anatekelezaje sasa? Na atatekelezaje haki wakati ujao?

SURA YA 16

‘Tenda Haki’ Unapotembea na Mungu

Kwa nini Yesu alionya: “Komeni kuhukumu ili msipate kuhukumiwa.”?