Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Utangulizi

Utangulizi

Mungu ni kama baba mwenye upendo. 1 Petro 5:6, 7

Mungu ni Muumba wetu, na anatujali. Kama vile baba mwenye hekima na upendo anavyowafundisha watoto wake, ndivyo Mungu anavyowafundisha watu kila mahali njia bora ya kuishi.

Mungu anafunua kweli zenye thamani ambazo zinatupa shangwe na tumaini.

Ukimsikiliza Mungu, atakuongoza, atakulinda, na atakusaidia kushughulika na matatizo.

Zaidi ya hayo​—utaishi milele!

Mungu anatuambia: ‘Njooni kwangu, sikilizeni, nanyi mtaendelea kuwa hai.’ Isaya 55:3