Ijumaa
“Na tusife moyo katika kufanya yaliyo mema”—WAGALATIA 6:9
ASUBUHI
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 77 na Sala
-
3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Hatupaswi Kufa Moyo —Hasa Sasa! (Ufunuo 12:12)
-
4:15 MFULULIZO: Endelea Kuhubiri “Bila Kuacha”
-
Isivyo Rasmi (Matendo 5:42; Mhubiri 11:6)
-
Nyumba kwa Nyumba (Matendo 20:20)
-
Hadharani (Matendo 17:17)
-
Kufanya Wanafunzi (Waroma 1:14-16; 1 Wakorintho 3:6)
-
-
5:05 Wimbo Na. 76 na Matangazo
-
5:15 DRAMA YA USOMAJI WA BIBLIA: Yehova Huwakomboa Watu Wake (Kutoka 3:1-22; 4:1-9; 5:1-9; 6:1-8; 7:1-7; 14:5-10, 13-31; 15:1-21)
-
5:45 Yehova—Mfano Bora Zaidi wa Uvumilivu (Waroma 9:22, 23; 15:13; Yakobo 1:2-4)
-
6:15 Wimbo Na. 115 na Mapumziko
ALASIRI
-
7:25 Video ya Muziki
-
7:35 Wimbo Na. 128
-
7:40 MFULULIZO: Kuvumilia Licha ya . . .
-
Kutendewa Isivyo Haki (Mathayo 5:38, 39)
-
Kuzeeka (Isaya 46:4; Yuda 20, 21)
-
Kutokamilika Kwetu Wenyewe (Waroma 7:21-25)
-
Hali Zenye Kunyenyekeza (Wagalatia 2:11-14; Waebrania 12:5, 6, 10, 11)
-
Ugonjwa wa Muda Mrefu (Zaburi 41:3)
-
Kufiwa na Mpendwa Wetu (Zaburi 34:18)
-
Mateso (Ufunuo 1:9)
-
-
8:55 Wimbo Na. 136 na Matangazo
-
9:05 DRAMA: “Mkumbukeni Mke wa Loti”—Sehemu ya 1 (Luka 17:28-33)
-
9:35 MFULULIZO: Sitawisha Sifa Zitakazokusaidia Kuvumilia
-
Imani (Waebrania 11:1)
-
Wema wa Adili (Wafilipi 4:8, 9)
-
Ujuzi (Methali 2:10, 11)
-
Kujizuia (Wagalatia 5:22, 23)
-
-
10:15 Ni Jinsi Gani “Hamtashindwa Hata Kidogo”! (2 Petro 1:5-10; Isaya 40:31; 2 Wakorintho 4:7-9, 16)
-
10:50 Wimbo Na. 3 na Sala ya Kumalizia