Tafuta Majibu ya Maswali Haya
-
“Sheria ya Kristo” ni nini? (Gal. 6:2)
-
Tunaweza kutimizaje sheria ya Kristo tukiwa faraghani? (1 Kor. 10:31)
-
Tunatimizaje sheria ya Kristo katika huduma ya shambani? (Luka 16:10; Mt. 22:39; Mdo. 20:35)
-
Ni nini kinachoifanya sheria ya Kristo iwe bora kuliko Sheria ya Musa? (1 Pet. 2:16)
- Ni kwa njia gani wenzi wa ndoa na wazazi wanaweza kutimiza sheria ya Kristo katika familia zao? (
-
Unaweza kutimizaje sheria ya Kristo unapokuwa shuleni? (Zab. 1:1-3; Yoh. 17:14)
-
Ni kwa njia zipi tunaweza kuwapenda wengine kama Yesu alivyotupenda? (Gal. 6:1-5, 10)