2018 Jumla Kuu
Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 87
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 240
Idadi ya Makutaniko: 119,954
Hudhurio la Ukumbusho: 20,329,317
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 19,521
Kilele cha Wahubiri *: 8,579,909
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 8,360,594
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2017: 1.4
Idadi ya Waliobatizwa *: 281,744
Wastani wa Mapainia * Kila Mwezi: 1,267,808
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 446,642
Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 2,074,655,497
Wastani wa Mafunzo ya Biblia * ya Nyumbani Kila Mwezi: 10,079,709
Katika mwaka wa utumishi wa 2018, * Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 214 kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wa wanaosafiri katika migawo yao ya utumishi wa shambani. ▪ Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 20,331 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote ni washiriki wa Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.
^ fu. 7 Mhubiri ni yule anayehubiri kwa ukawaida, habari njema ya Ufalme wa Mungu. (Mathayo 24:14) Ili upate ufafanuzi kamili kuhusu jinsi idadi hii inavyopatikana, soma makala yenye kichwa “Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.
^ fu. 10 Ili upate habari zaidi kuhusu hatua zinazoongoza kwenye ubatizo ili mtu awe Shahidi wa Yehova, soma makala yenye kichwa “Nifanye Nini Ili Niwe Shahidi wa Yehova?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.
^ fu. 11 Painia ni shahidi aliyebatizwa mwenye mfano mzuri anayejitolea kutumia idadi hususa ya saa kila mwezi kuhubiri habari njema.
^ fu. 14 Kwa habari zaidi, soma makala yenye kichwa “Funzo la Biblia Ni Nini?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.
^ fu. 15 Mwaka wa utumishi wa 2018 ulianza Septemba 1, 2017, hadi Agosti 31, 2018.