Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 22-28/02

Nehemia 12-13

Tarehe 22-28/02
  • Wimbo 106 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mutu anapendezwa kidogo na ujumbe wetu, muhubiri anamutolea mualiko wa Ukumbusho.

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Mutu anapendezwa sana, muhubiri anamutolea mualiko wa Ukumbusho na Munara wa Mulinzi. Anamutayarisha kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) Muhubiri amuonyeshe mwanafunzi namna Ukumbusho unafanywa kwa kutumia kitabu Biblia Inafundisha, uku. 206-208. Anafanya jambo fulani ili kumusaidia afike kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 5

  • Ualike Kila Mutu wa Eneo Lako Kwenye Ukumbusho!”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Uonyeshe mipango yenye ilikamatwa ili kuhubiri eneo lote la kutaniko. Wakati munarudilia sehemu “Hatua za Kufuata,” muangalie video ya Ukumbusho. Utie ndugu na dada moyo wahubiri kwa bidii katika kampanye ya kualika watu, na wawarudilie. Mufanye onyesho.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 9 fu. 14-24, mambo ya kujikumbusha kwenye uku. 82 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 147 na Sala