Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 29/02–06/03

ESTA 1-5

Tarehe 29/02–06/03
  • Wimbo 86 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umutolee mutu broshua Umusikilize Mungu. Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mufanye onyesho la kumurudilia mwenye alikubali broshua Umusikilize Mungu, na muchunguze uku. 2-3. Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) Mufanye onyesho la namna ya kujifunza Biblia kupitia broshua Umusikilize Mungu ili Uishi Milele kwenye uku. 4-5 kama mutu alikubali broshua Umusikilize Mungu. (km 7/12 uku. 2-3 fu. 4)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 71

  • Mahitaji ya kutaniko lenu: (Dak. 10)

  • Namna Yetu Mupya ya Kufanya Mikutano na Buku la Mukutano Vinakusaidia Namna Gani?: (Dak. 5) Mazungumuzo. Uombe watu waeleze faida yenye wamepata kupitia mukutano huu mupya. Uwatie moyo wajitayarishe muzuri ili kupata faida zaidi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 fu. 1-11, kisanduku kwenye uku. 86 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 149 na Sala