Esta Aliwatetea Watu wa Mungu
Esta alionyesha imani yenye nguvu na hakuogopa wakati alitetea watu wa Mungu
-
Mutu kufika mbele ya mufalme pasipo ruhusa, angeuawa. Esta alifanya siku 30 pasipo Mufalme kumualika mbele yake
-
Mufalme Ahasuero, mwenye kuzaniwa kuwa Shasta wa kwanza, alijulikana kuwa mutu mukali na mwenye kukasirika sana. Siku moja, aliambia watu wake wakate mwanaume mumoja vipande viwili na watu wengi wamuone ili akuwe fundisho kwao. Alimunyanganya pia Vashti cheo chake cha malkia wakati alikosa kumutii
-
Esta alipaswa kuonyesha kwamba yeye ni Muyahudi na kumusadikisha mufalme kwamba mushauri mwenye alitumainia alimudanganya